iqna

IQNA

elon musk
Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)- Bilionea wa Kimarekani, Elon Musk, ambaye ni mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Twitter, amewakasirisha Waislamu nchini Marekani baada ya kuchapisha picha kwenye akaunti yake ya Twitter, ikiwa na idadi ya alama za fikra na itikadi anazodai zinalenga "kupindua na kuharibu fikra na akili za watu."
Habari ID: 3476345    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02